SERIKALI KUSIMAMIA UANZISHWAJI VITUO VYA MALEZI VYA KIJAMII
Picha zote na KItengo cha Mawasiliano Serikalini WAMJW Na Mwandishi Wetu-Dodoma Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto imesema kupitia Halmashauri zote nchini itaendelea kuhamasisha, kuratibu na kusimamia uanzishwaji na uendeshaji wa vituo vya Malezi, Makuzi na Maendeleo ya Awali ya Mtoto kwa kushirikisha wazazi, walezi na jamii kwa ujumla. Hayo yamesemwa jijini hapa na
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed